Meza kuu kwenye Kongamano la amani kwa vijana wa Zanzibar ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais Mstaafu wa Zanzibar Aman Abeid Karume. Kongamano la siku moja liliandaliwa na Taasisi ya Friends of Zanzibar na kufanyika katika ukumbi wa Baytul Yamin
Mmoja katika waendesha Kongamano la Amani kwa vijana wa Zanzibar akitoa Mada mojawapo
Waandalizi wa Kongamano la amani kwa vijana wa Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Zanzibar Aman Abeid Karume. Kongamano la siku moja liliandaliwa na Taasisi ya Friends of Zanzibar
No comments:
Post a Comment