Habari za Punde

Madaktari Bingwa kutoka Tanzania Bara watoa huduma za kujitolea Hosptali za Pemba

 MKUU wa Msafara wa madaktari bingwa kutoka Tanzania bara Dk Mohamed Juma Mohamed, akizungumza na waandishi wa habari juu ya ujio wao wa kutoa huduma bure kwa wananchi wa Pemba, kwa niaba ya  Jumuiya ya Maendeleo ya Wapemba JUMP.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
DAKTARI bingwa kutoka Tanzania bara Dk Mashavu, akiangalia buku la mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Wete, mara baada ya kuwasili kwa timu ya madaktari bingwa kuanza kutoa huduma ya kujitolea kwa madaktari hao, madaktari hao wapo kisiwani Pemba kwa niaba ya Jumuiya ya Maendeleo ya Wapemba JUMP.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.