Balozi, Maalim Dr. Ali Ahmed Saleh
akisindikizwa na msimamizi wake wa masomo (Supervisor) Prof. Hossea Rwegoshora
kupokea shahada yake ya Phd.
Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tz Dr Asha Rose
Migiro akimtunuku Shahada ya Phd – Balozi, Maalim Dr Ali Ahmed Saleh katika
Mahafali ya 29 ya OUT mnamo tarehe 16/12/2015
Balozi, Maalim Dr Ali Ahmed Saleh akipongezwa na Mjumbe wa Baraza la Out, Prof Samwel Wangwe.Wengine ni pamoja na
Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John S. Malecela (Kulia) na Waziiri Mkuu Mstaafu Mh.
Mizengo Pinda (Mgeni Wa Heshima Wa Mahafali)
Picha ya Pamoja ya Wahitimu ya Shahada ya
Phd(Out) katika Mahafali ya 29 ya
OUT mwaka 2015.
No comments:
Post a Comment