Mkurugenzi mkaazi wa Mamlaka ya Vitega Uchumi
Pemba, Fadhila Hassan Abdalla, akifuatana na Watendaji wa Hoteli ya Muyuni ,
wakati akikaguwa mazingira ya Hoteli hiyo huko Makangale Pemba.
Baadhi ya maafisa kutoka Kamisheni ya Utalii
Pemba, wakiwa katika kikao cha Kamisheni hiyo na Muwekezaji wa Hoteli ya Muyuni
huko Makangale -Pemba
Mkurugenzi mkaazi wa Mamlaka ya Vitega Uchumi
Pemba, Fadhila Hassan Abdalla, akifuatana na Watendaji wa Hoteli ya Muyuni ,
wakati akikaguwa mazingira ya Hoteli hiyo huko Makangale Pemba
Ujumbe kutoka Kamisheni ya Utalii na Mamlaka ya
Vitega uchumi Pemba, wakiwa katika moja ya Chumba cha Hoteli hiyo ya Muyuni
Pemba, ilioko makanagale.
Eneo la Maandhari ya Hoteli ya Muyuni
iliko Makangale Kisiwani Pemba.
No comments:
Post a Comment