Habari za Punde

Wafanyakazi wa Zantel wafanya sherehe za kufunga mwaka

 Wafanyakazi wa kampuni ya Zantel wakati wa Sherehe ya kufunga mwaka iliyofanyika mwisho wa wiki hii katika hotel ya Double Tree
      Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akitoa hotuba fupi ya kuzindua sherehe ya kufunga mwaka kwa wafanyakazi wa Zantel iliyofanyika mwisho wa wiki.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akitoa hotuba fupi ya kuzindua sherehe ya kufunga mwaka kwa wafanyakazi wa Zantel iliyofanyika mwisho wa wiki.

 Mkurugenzi Mwendeshaji wa Zantel, Bertrant Lacroix akijihudumia chakula wakati wa sherehe ya kufunga mwaka ya Zantel. Anayemfatia ni Mkurugenzi wa Masoko wa Zantel, Progress Chissenga
 Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel akibadilishana mawazo na baadhi ya wafanyakazi wakati wa sherehe ya kufunga mwaka kwa Zantel.
Mkurugenzi wa Rasirimali watu wa Zantel, Bi Joanita Mrengo akizungumza wakati wa sherehe ya kufunga mwaka kwa wafanyakazi wa Zantel.
Mshauri wa Masuala ya serikali wa Zantel kwa upande wa Zanzibar akizungumza wakati wa sherehe ya wafanyakazi iliyofanyika Zanzibar mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.