AFISA Uhusiano mstaafu wa Shirika la Umeme Zanzibar
Tawi la Pemba, Faki Othman Sharif akizungumza na waandishi wa habari wa Shirika
la Magazeti ya Serikali Zanzibarleo Ofisi ya Pemba, katika ofisi za shirika
hilo Chake Chake Pemba, baada ya kumaliza muda wake wa utumishi kwa kuwashukuru
wafanyakazi wa shirika hilo.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAANDISHI wa habari wa Shirika la Magazeti ya
Serikali Zanzibar-Zanzibarleo kisiwani Pemba, wakiwa katika harakati za uchapaji
wa kazi zao, baada ya kurudi kutafuta habari zao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment