Habari za Punde

Mazishi ya Marehemu Asha Bakari Makame katika Kijiji cha Kianga Zanzibar

Viongozi wa Serikali wakijumuika na Wananchi mbalimbali wakimsomea hitma Marehemu Asha Bakari Makame iliofanyika katika Masjid Noor-Muhammad Kwamchina uliokosaliwa mwili wa marehemu na kuzikwa katika Kijiji cha Kianga nje kidgo ua Mji wa Zanzibar Wuilaya ya Magharibi B Unguja.wakwanza Waziri Kiongozi Mstaaf Shamsi Vaia Nahodha, Makamu wa Rais Mstaaf wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Dk Mohammed Gharib Bilal, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Rais Msataa wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein.   

Wakwanza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Abdalla Khamis Mwinyi Naibu Kadhi Shekh. Mussa Ngwali, wakiitikia dua iliokuwa ikisomwa baada ya kumaliza kusowa hitma.katika Masjid Noor-Muhammad Kwamchina Zanzibar.
Wananchi wakiitikia dua baada ya kumsomea hitma marehemu Asha Bakari Makame.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wakipokea jeneza lililokuwa na Mwili wa Marehemu Asha Bakari Makame wakati wa kumsalia katika Masjid Noor-Muhammed Kwamchina Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, na Viongozi wa Serikali na Wananchi wakikujumuika katika Sala ya kumsalia marehemu Asha Bakari Makame iliofanyika katika Masjid Noor-Muhammad Kwanchina.
Naibu Kadhi wa Zanzibar Shekh Mussa Ngwali akiongoza Sala ya kuusalia Mwili wa Marehemu Asha Bakari Makame iliofanyika katika Masjid Noor-Muhammad Kwamchina na kuzikwa katika Kijiji cha Kianga Nje Kidogo ya Mji wa Zanzibar Wilaya ya Magharibi B Unguja. 


Waumini wa Dini ya Kiislamu wakiusalia mwili wa marehemu Asha Bakari Makame katika Masjid Noor- Muhammad Kwamchina Zanzibar.
Viongozi wa Serikali na Vyama vya Siasa na Wananchi wakiitikiac dua ikisomwa na Naibu Kadhi wa Zanzibar Shekh.Mussa Ngwali. baada ya kumalizika kwa sala ya maiti.

Ndugu na Jamaa wakiitia dua 
Waumini wa Dini ya Kiislamu wakijumuika katika Sala ya kumsalia marehemu Asha Bakari wakiitikia Dua baada ya Sala hiyo.
Waumini wa Dini ya Kiislamu wakijumuika katika Sala ya kumsalia marehemu Asha Bakari wakiitikia Dua baada ya Sala hiyo.
Viongozi wa Serikali na Vyama vya Siasa na Wananchi wakiitikiac dua ikisomwa na Naibu Kadhi wa Zanzibar Shekh.Mussa Ngwali. baada ya kumalizika kwa sala ya maiti.
Wananchi wakiwa wamebeka jeneza lenye mwili wa Marehemu Asha Bakari Makame baada ya kumaliza Sala ya kuusalia mwili huo iliofanyika katika Masjid Noor-Muhammad Kwamchina Zanzibar,







Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar  Balozi Seif Ali Iddi akiweka mchanga katika kaburi.
Makamu wa Rais Mstaaf wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Mohammed Gharib Bilal akiweka mchanga katika kaburi la marehemu wakati wa mazishi hayo katika kijiji cha kianga Zanzibar. 
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Pandu Ameir Kificho akiweka mchanga katika kaburi wakati wa mazishi hayo yaliofanyika katika kijiji cha kianga Zanzibar.
Baba Mzazi wa Marehemu Mzee Bakari Makame akiweka mchaka katika kaburi la mwanawe wakati wa mazishi hayo yaliofanyika katika Kijiji cha Kianga Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Wananchi wakishiriki katika mazishi hayo katika Kijiji cha Kianga Zanzibar.
Wananchi wakiwa katika kaburi la mareheme Asha Bakari Makame baada ya kumaliza kuzika na kuweka sawa kaburi hilo katika kijiji cha Kianga Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Naibu Kadhi Shekh. Mussa Ngwali akisoma dua baada ya kumalizika kwa mazishi hayo ya Marehemu Asha Bakari Makame yaliofanyika katika Kijiji cha Kianga Wilaya ya Magharibu B Unguja. 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai akisoma wasifu wa Marehemu Asha Bakari Makame katika kukikutimikia Chama kwa nafasi mbalimbali hadi kifo kinamkuta alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania kwa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.