Na MwandishiMaalum,
New York
Umoja wa Mataifa umetahadharisha kwamba Tanzania
ni kati ya nchi kadhaa ambazo zinawezekano mkubwa wa kukumbwa na mafuriko ya takayo sababishwa na El- Nino.
Kwa mujibu wa Taarifa ya Katibu Mkuu Msaidizi Mwandamizi anayehusika na Misaada ya Ki-binadamu na Uratibu wa Misaada ya Dharura, Bw
Stephen O’Brien, kipindi ambacho Tanzania
inaweza kukabiliwa na mafuriko ya El-Nino
ni kati ya mwezi Januari na Machi mwaka huu wa 2016.
Nchi nyingine ambazo zinawezekano wa kukumbwa na mafuriko
makubwa pamoja na Tanzania ni
Madagascar, Malawi na
Msumbiji.
Taarifa ya Bw. O’Brien kuhusu madhara ya El-Nino
na namna
gani Jumuiya ya Kimataifa inatakiwa kujiandaa au inajiandaa na
kadhia hiyo iliyowasilishwa mbele ya wajumbe wa nchi
wanachama wa Umoja wa Mataifa na nakala yake kutumwa kwa
Uwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania katika Umoja wa Mataifa,
pamoja na kutoa tahadhri hiyo, amewasihi nchi ambazo
zinatarajiwa kukubwa na maafa ya El -Nino kujiandaa ipasavyo.
Maandalizi hayo ni pamoja utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa
wananchi watarajiwa wa athari za El-
Nino .
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu Msaidizi Mwandamizi,
kwa upande wa Afrika ya Mashariki,
nchi kadhaa hususan ukanda wa magharibi zimekumbwa na uhaba
mkubwa wa mvua na hivyo kuathiri kiwango
cha upatikanaji wa chakula.
Nchi hizo ni
Ethiopia Sudan, Djibouti na Eritrea, ilihali baadhi ya nchi zikipata kiwango cha mvua kilichovuka mipaka.
“Kuanzia mwezi Januari hadi Machi, nchi za Tanzania, Msumbiji,
Madagascar na Malawi zinauwezekano mkubwa kwa kukumbwa na mafuriko ya El- Nino”.anatahadharisha
O’Brien Kwa mujibu wa Bw. Stephen O’Brien nchi hizo zitahitaji pamoja na
mambo mengine misaada ya kujiandaa na kushughulikia ya kile kinachokabiliwa kwamba kinauwezekano mkubwa wa kutokea.
Ukiacha nchi za Afrika ya Mashariki,nchi nyingine kwa upande
wa Afrika ambazo zinakumbwa na hali tete ya uhaba wa mvua
nahivyokutishiausalamanaupatikanajiwachakulani
wa Afrika ambazo zinakumbwa na hali tete ya uhaba wa mvua
nahivyokutishiausalamanaupatikanajiwachakulani
Angola,
Botswana, Malawi, Namibia, AfrikayaKusini,
Swaziland, Zambia na Zimbabwe.
Nchi hizi zimekumbwa na uhaba mkubwa wa mvua kiasi kwamba
na kwa mujibu wa Bw. Stephen O’Brien zitakabiliwa na uhaba
mkubwa wa chakula ambapo watu zaidi ya milioni
na kwa mujibu wa Bw. Stephen O’Brien zitakabiliwa na uhaba
mkubwa wa chakula ambapo watu zaidi ya milioni
28 katika mataifa hivyo watakabiliwa na uhaba wa chakula
Akizungumzia kuhusu misaada ambayo imekwisha kutolewa na
nchi wahisani katika kukabiliana na ukame na madhara yatokanayo na El-Nino, Katibu Mkuu Msaidizi Mwandamizi anasema kuwa hadi wakati anatoa taarifa yake kiasi cha dola 360 milioni kilikuwa kimetolewa na wafadhili kwa lengo la kukabiliana na madhara yatakayotokana na El-Nino ukiwamo usalama wa chakula.
nchi wahisani katika kukabiliana na ukame na madhara yatokanayo na El-Nino, Katibu Mkuu Msaidizi Mwandamizi anasema kuwa hadi wakati anatoa taarifa yake kiasi cha dola 360 milioni kilikuwa kimetolewa na wafadhili kwa lengo la kukabiliana na madhara yatakayotokana na El-Nino ukiwamo usalama wa chakula.
Pamoja na michango hiyo,
Bw. O’Brien anasema haitoshi kutokana na ukweli kwamba maafa yatakayotokana na madhira ya El-Nino
yanahitaji misaada zaidi Mbali ya nchi za kanda ya Afrika baadhi ya nchi ulimwenguni ambazo zinatakumbwa na ambazo zimeshakubwa na balaa
la El-Nino ni pamoja na Nchi ambao zimo katika
Bara la Latini ya Amerika, na nchi za eneo la Pacific ambazo nyingi ni visiwa.
Shirika la Kimataifa
la Hali ya Hewa ( World Meteorogical
Organization) litanatarajiwa katika mwezi
February
kutoa taarifa zaidi kuhusu mwelekeo wa El-Nino
No comments:
Post a Comment