TAASISI mbali mbali zinapaswa kuwa makini nchini,
zinaposafirisha vifaa vyao barabarani ili visije vikasababisha madhara kwa
wengine, pichani gari la Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Pemba likiwa
limepakia pipa za lami bila ya kuzifunga, jambo ambalo linaweza kuwa hatari kwa
wengine.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
Dkt Jakaya Kikwete Apongeza Kasi ya Ukuaji Taasisi za Fedha, Aipongeza NBC
Ushirikiano na Wateja.
-
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete ameelezea kuridhishwa
kwake na kasi ya ukuaji pamoja na uimara wa taasisi za fedha hapa nchini
huku akizis...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment