TAASISI mbali mbali zinapaswa kuwa makini nchini,
zinaposafirisha vifaa vyao barabarani ili visije vikasababisha madhara kwa
wengine, pichani gari la Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Pemba likiwa
limepakia pipa za lami bila ya kuzifunga, jambo ambalo linaweza kuwa hatari kwa
wengine.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
RAIS MWINYI AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU CHARLES HILLARY
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, ametoa mkono wa pole kwa familia ya marehemu Charles Hillary,
aliyekuw...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment