Gari ya Idara ya Utuzaji Barabara Zanzibar ikifanya kazi ya kuweka lami katika moja ya barabara za Unguja katika kuimarisha barabara hiyo kama walivyokuwa Wafanyakazi hawa wakiweka lami katika barabara ya Amani kwenda Kwerekwe ilikuwa imeharibika kwa mashimo katika eneo hilo na kuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo.
WANANCHI WAASWA KUTUMIA NAMBA YA MALIPO WANAPOLIPIA HUDUMA ZA SERIK
-
Afisa Mwandamizi kutoka Idara ya Usimamizi wa Mifumo ya Fedha na TEHAMA wa
Wizara ya Fedha, Bw. Charles Maganga (kulia), akitoa maelezo kuhusu umuhimu
wa...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment