Gari ya Idara ya Utuzaji Barabara Zanzibar ikifanya kazi ya kuweka lami katika moja ya barabara za Unguja katika kuimarisha barabara hiyo kama walivyokuwa Wafanyakazi hawa wakiweka lami katika barabara ya Amani kwenda Kwerekwe ilikuwa imeharibika kwa mashimo katika eneo hilo na kuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment