Gari ya Idara ya Utuzaji Barabara Zanzibar ikifanya kazi ya kuweka lami katika moja ya barabara za Unguja katika kuimarisha barabara hiyo kama walivyokuwa Wafanyakazi hawa wakiweka lami katika barabara ya Amani kwenda Kwerekwe ilikuwa imeharibika kwa mashimo katika eneo hilo na kuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo.
MATUKIO; ASKARI WAWILI WAJERUHIWA AJALI YA MOTO MLANDIZI
-
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv
ASKARI wawili wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji wamejeruhiwa wakiwa katika
harakati za kuokoa marehemu waliokuwa wamenasia kweny...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment