Habari za Punde

Katibu wa Baraza la Wawakilishi Azungumza na Waandishi wa Habari Kukamilika kwa Matayarisho ya Mkutano waPili wa Baraza Kesho.

 Afisa Uhusiano na Mawasiliano wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Himid Choko akizungumza kabla ya kuaza kwa Mkutano wa Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Raya Issa Mselem juu ya kuaza kwa Mkutano wa Pili wa Baraza la Wawakilishi unaotarajiwa kuaza kesho na kuwasilishwa mishwada na Maswali na Majibu.
Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Raya Issa Mselem akiwa na Watendaji wa Idara za Baraza la Wawakilishi wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari kutowa maelezo ya kukamilika kwa za na kukamilika kwa matayarisho ya mkutano huo.

Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Raya Issa Mselem akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kuhusiana na kukamilika kwa matayarisho ya Mkutano wa Pili wa Baraza la Wawakilishi unaotarajiwa kuaza kesho asubuhi katika ukumbi wa Baraza Chukwani Zanzibar. 
Waandishi wa habari wakiwa makini kumsikiliza Katibu wa Baraza wakati akizungumza na waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vya habari vilioko Zanzibar. mkutano huo umefanyika katika Afisi za ukumbi mdogo wa jengo la baraza la wawakilishi chukwani Zanzibar.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.