Habari za Punde

Makamu wa Rais akutana na Balozi wa TZ nchini Uingereza Dk Asha Rose Migiro ofisini kwake Dar

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan akiwa kaitka Mazungumzo na  na Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza Dkt  Asha_Rose Migiro alipokwenda Ofisini kweke  leo Ikulu jijini Dar es Salaam Tarehe 19/05/2016   

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza Dkt Asha _Rose Migiro kabla ya Mazungumzo yao Ofisini kwake Ikulu Jijini Dar es Salaam Tarehe 19/05/2016
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika Picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza  Dkt Asha_Rose Migiro leo Ikulu Dar es Salaam Tarehe 19/05/2016

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.