Mwanafunzi Amina Azizi Rashid ambaye amehifadhi
juzuu 15, akisoma Qur-ani katika mashindano ya Tahfidh Qur-ani yaliyofanyika
katika Mskiti wa Ibadhi Mkoroshoni Wilaya ya Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWANAFUNZI Khamis Ali Mpamba, Mwenye Ulemavu wa
Macho (Haoni), akisoma Qur-an katika mashindano ya Tahafidhi Qur-ani,
yaliyofanyika huko katika Mskiti wa Ibadhi Mkoroshoni Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWANAFUNZI Hilali Khamis Ahmed mwenye umri 12,
akipokea Charahani baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya
Tahfidhi Qur-ani kwa upande wa Juzuu 15, mashindano hayo yaliyofanyika katika
Mskiti wa Ibadhi Mkoroshoni Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Taaluma katika taasisi ya Samail Academy
Pemba, Said Abdalla Nassor akimkabidhi Charahani Mwanafunzi Ummul-kulthum
Khamis Jab aliyeibuka mshindi wa kwanza katika Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an
kwa upande wa Juzuu 20, mashindano hayo yaliyofanyika katika Mskiti wa Ibadhi
Mkoroshoni Chake Chake Pemba.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWANAFUNZI Mariyam Salum Mohamed mwenye umri miaka
20, akipokea Komputa baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kuhifadhi
Qur-an kwa upande wa Juzuu 30, mashindano hayo yaliyofanyika katika Mskiti wa
Ibadhi Mkoroshoni Chake Chake Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWANAFUNZI Is-haka Issa Kassim mwenye umri miaka 18,
akipokea charahani baada ya kuibuka mshindi wa pili, katika mashindano ya
kuhifadhi Qur-an kwa upande wa Juzuu 30, mashindano hayo yaliyofanyika katika
Mskiti wa Ibadhi Mkoaroshonio Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWANAFUNZI Is-haka Bakari Ali mwenye umri wa miaka
10, akipokea baskeli baada ya kushika nafasi ya kwanza katika mashindano ya
Tahfidhi Qur-an kwa upande wa Juzuu 10, mashindano hayo yalifanyika katika
mskiti wa Ibadhi Mkoaroshoni Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWANAFUNZI Sharif Ali Omar mwenye umri wa miaka 15,
akipokea Komputa baada ya kushika nafasi ya kwanza katika mashindano ya
Tahfidhi Qur-an kwa upande wa juzuu 25, mashindano hayo yaliyofanyika katika
mskiti wa Ibadhi Mkoaroshoni Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment