Wafanyakazi wa Manispa wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiichukua gari iliyoegesha katika eneo haliruhusiwi kuegeshwa kwa magari katika eneo la barabara ya hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar , kama linavyoonekana picha gari hiyo ikipakiwa katika gari maalum kwa kazi hiyo.
RAIS MWINYI: TUIOMBEE NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
-
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.
Hussein ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment