Wafanyakazi wa Manispa wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiichukua gari iliyoegesha katika eneo haliruhusiwi kuegeshwa kwa magari katika eneo la barabara ya hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar , kama linavyoonekana picha gari hiyo ikipakiwa katika gari maalum kwa kazi hiyo.
WATUMISHI WA UMMA KIBAHAWatumishi watakiwa kutunza heshima za taasisi zao.
-
Na.Mwashamba Haji Juma
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, amewataka
watumishi wa umma kuhakikisha wanatunza, kulinda na kukuza...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment