WATAALAMU wa Uwekali wa Raba ya kukimbilia katika
Uwanja wa Michezo Gombani Kisiwani Pemba, kutoka kampuni ya Gz Jrace Athletic
Facilities Co.LtD, wakiwa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba, mara
baada ya kufika kwao na kwenda kujitambulisha juu ya uwepo wao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Msafara wa wataalamu wa Uwekaji wa Raba ya
kukimbilia katika Uwanja wa Michezo Gombani Kisiwani Pemba, kutoka kampuni ya
Gz Jrace athletic Facilities Co.LtD, Wendy Tanjianli akizungumza juu ya uwepo
wao katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba, walipofika kujitambulisha
uwepo wao.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA)
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid
Abdalla, akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu wa uwekaji wa Raba ya
kukimbilia katika uwanja wa michezo Gombani, kutoka kampuni ya Gz Jrace
athletic Facilities Co.LtD ya nchini China, pamoja na watendaji wa Wizara ya
Habari Utamaduni Utalii na Michezo Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Mafundi wa uwekaji wa Tartan katika Kiwanja cha Michezo cha Gombani Pemba, wakiwa wamewasili Kisiwani humo tayari kwa kuanza kazi hiyo.
Picha na Bakar Mussa-Pemba.
Picha na Bakar Mussa-Pemba.
No comments:
Post a Comment