Habari za Punde

Zoezi la Uwekaji Tartan Uwanja wa Gombani Waanza

 WATAALAMU kutoka kampuni ya Guangzhou Jrage Athletic Facilities Co.LTD ya nchini China, wakiweka levuli ya kwanza ya Raba ya kukimbilia (Tatani) katika uwanja wa gombani.
 WATAALAMU kutoka kampuni ya Guangzhou Jrage Athletic Facilities Co.LTD ya nchini China, wakiweka levuli ya kwanza ya Raba ya kukimbilia (Tatani) katika uwanja wa gombani.
 AFISA Mdhamini wa Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja akimuonyesha Sampuli ya tatani, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla wakati alipotembelea zoezi la uwekaji wa tatani hiyo
 MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdall, akikagua zoezi la uwekaji wa Tanani katika uwanja wa michezo gombani, kushoto ni Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba Khatib Juma Mjaja.(

 Mkuu wa Msafara wa wataalamu wa Kampuni Guangzhou Jrage Athletic Facilities Co.LTD ya nchini China, Wendy Tanjianli akimfahamisha jambo Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, wakati kagua kazi hiyo inayoendelea katika uwanja wa michezo gombani
Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid 

Abdalla, akizungumza jambo wakati alipokuwa akikagua 

kazi ya uwekaji wa tatani katika uwanja wa michezo gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.