GARI ya Abiria yenye namba za Usajili Z524 yenye ruti Chake Chake Wete, ikiwa imepata ajali na kuingia katika bonde la mpunga eneo la Machengwe Wilaya ya Wete, wakati ilipokuwa katika kazi zake na abiria wote waliokuwemo walinusurika kufa.(Picha na Zuhura Msabah, PEMBA.)
RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar.
...
4 hours ago




No comments:
Post a Comment