Habari za Punde

Maziko ya Mzee Aboud Jumbe Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Zanzibar

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania MzeeAli Hassan Mwinyi na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi(katikati) pamoja na Viongozi mbali mbali   wakiwa katika hitma  ya kumuombe dua   Marehemu  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi katika msikiti wa Mushawall  Mwembeshauri Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]15/08/2016.
 Baadhi ya Viongozi mbali mbali wakisoma hitma ya kumuombe dua   Marehemu  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi katika msikiti wa Mushawall  Mwembeshauri Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]15/08/2016.
 Baadhi ya wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu  wakisoma hitma ya kumuombe dua   Marehemu  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi katika msikiti wa Mushawall  Mwembeshauri Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]15/08/2016.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Dkt.Abeid Amani karume (kushoto)akifuatiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe,Majaliwa Kassim Majaliwa,Mzee Ali i Hassan Mwinyi na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi(kulia) pamoja na Viongozi mbali mbali   wakitikia  dua  ya hitma ya kumuombea  Marehemu  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi    katika msikiti wa Mushawall  Mwembeshauri Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]15/08/2016.
Viongozi mbali mbali walijumuika katika swala ya maiti aliyoswaliwa Marehemu  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi,iliyoongozwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi(mbele)  katika msikiti wa  Mushawall  Mwembeshauri Mjini Zanzibar na kuzikwa Nyumbani kwake Migombani Unguja leo mchana,[Picha na Ikulu.]15/08/2016.
 Wananchi waliobeba jeneza la mwili wa Marehemu  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi yaliyofanyika Nyumbani kwake Migombani Unguja leo mchana,[Picha na Ikulu.]15/08/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) pamoja na Viongozi mbali mbali wa Serikali ya mapinduzi na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika mazishi ya Marehemu  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi yaliyofanyika Nyumbani kwake Migombani Unguja leo mchana,[Picha na Ikulu.]15/08/2016.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.