Habari za Punde

Timu ya Coastal yaibuka kidedea kwa kuifunga Kitope United 2-0

 Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo akiikagua timu ya Kitope United kwenye mashindano yaliyoandaliwa na Taasisi isiyo ya kiserikali Zanzibar Welfare and Drug abuse  (Zaweda) huko Kitope 
 Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo akiikagua timu ya Coastal ya Upenja kwenye mashindano yaliyoandaliwa na Zaweda huko Kitope 
 Mgeni rasmi, Waziri wa habari, utamaduni na Micheza Mhe Rashid akitabasamu wakati akifuatilia kwa makini mashindano ya fainal ya Mpira wa Miguu kati ya Kitope Inited na Coastal ya Upneja. Timu ya Upneja illbuka kidedea kwa kuifunga Kitope United 2-0. Kulia ni mwakilishi wa Jimbo la Kiwengwa, BI Asha na kushoto nio Mbunge wa jimbo hilo ndugu Khamis
 Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo akimpa zawadi  ya jezi kapteni wa timu ya Kitope United.
 Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo akimpa zawadi  ya jezi kapteni wa timu ya Kitope United.
 Mwakilishi wa jimbo la Kiwengwa, Bi Asha akizungumza machache kuwashukuru wadhamini wa mashindano hayo Zaweda , Waziri pamoja na timu zilizoshiriki katika mashindano hayo
  Mbunge wa jimbo la Kiwengwa , Ndugu Khamis akizungumza machache kuwashukuru wadhamini wa mashindano hayo Zaweda , Waziri pamoja na timu zilizoshiriki katika mashindano hayo
  Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo akimkabidhi kombe la Ushindi kapteni wa timu ya Coatal ya Upenja baada ya kuwanyuka Kitope United katika mashindano yaliyodhaminiwa na Zaweda
Wachezaji wa Timu ya Coastal ya Upenja wakifurahia ushindi wao

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.