Habari za Punde

Breaking News: Tetemeko la ardhi laikumba mikoa ya Mwanza, Kagera

Tatemeko la ardhi limetokea mkoani Kagera leo mchana na kuacha wakazi wa mkoa huo katika hari ya taaruki. Kwa taarifa za mwanzo zinasema nyumba nyingi zimebomoka na hata nyingine kuachwa na nyufa. Kwa Taarifa kamili inakuijia hivi punde





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.