Mshauri wa Rais Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Uwekezaji Mhe,Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa (kushoto) pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili Rais Nd,Joseph Abdalla Meza wakiwa katika mkutano Mpango wa Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM mwaka 2015-2020 uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,Chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.] 09/09/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili Rais katika mkutano Mpango wa Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM mwaka 2015-2020 uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,(kushoto) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,[Picha na Ikulu.] 09/09/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili Rais katika mkutano Mpango wa Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM mwaka 2015-2020 uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 09/09/2016.
No comments:
Post a Comment