Habari za Punde

Karafuu zilizochanganywa na makonyo zadakwa Pemba

 Karafuu ambazo zimekamatwa zikipasishwa ambapo zimekutikana zikiwa  zimechanganywa na makonyo.
Karafuu ambazo zimekamatwa zikipakuliwa kwenye gari la ZSTC,baada ya  kufikishwa kituoni Wete
 Karafuu ambazo zimechanganywa na makonyo ambazo zimekamatwa , zikiwa  ndani ya Ungo.
 Karafuu ambazo zimechanganywa na makonyo zikiwa zinacahakachuliwa na  Wachukuzi wa ZSTC ,Wete.
Mjumbe wa Bodi wa Jumuiya ya  Wazalishaji Karafuu Zanzibar, Moh'd  Annad Moh'd , akizungumza na Waandishi wa Habari huko ZSTC Wete, mara  baada ya kufikishwa Karafuu zilizokamatwa.
 
 Kaimu Kamanda wa KMKM , Said Ali Ali, akizungumza na Waandishi habari  kuhusiana na kukamatwa Karafuu za Magendo ambapo ndani yake  zimechanganywa na Makonyo.
 Mpasishaji wa Karafuu katika kituo cha ZSTC Wete, akisimaulia  alivyopasisha Karafuu ambazo zimekamatwa zikiwa zinataka kusafirishwa  magendo na alivyozikuta na mchanganyiko wa Makonyo .
 
 Karafuu ambazo zimekamatwa zikiwa zimechanganywa na makonyo , zikiwa  katika kituo cha ZSTC Wete.

Picha na Bakar Mussa/ Thurea Ghalib, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.