Sikiliza kipindi maalum kinachozungumzia maadili katika malezi ya wazee wetu wa zamani na vijana wetu wa leo,vipi ndoa za zamani zilivyokua zikifanyika pamoja na sabubu za kudumu hali ambayo ni kinyume na wakati huu ambapo ndoa nyingi zimekua zikikatika katikati.Jee unajua sababu,sikiliza kipindi hiki kinachoongozwa na Salmin Juma -Pemba
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment