Sikiliza kipindi maalum kinachozungumzia maadili katika malezi ya wazee wetu wa zamani na vijana wetu wa leo,vipi ndoa za zamani zilivyokua zikifanyika pamoja na sabubu za kudumu hali ambayo ni kinyume na wakati huu ambapo ndoa nyingi zimekua zikikatika katikati.Jee unajua sababu,sikiliza kipindi hiki kinachoongozwa na Salmin Juma -Pemba
ADA COTTRELL FOUNDATION YATOA MSAADA NUNGWI-ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya ADA COTTRELL FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya (LDF)
Labayka Development Foundation imetoa mahitaji kwa Watoto wanaish...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment