Sikiliza kipindi maalum kinachozungumzia maadili katika malezi ya wazee wetu wa zamani na vijana wetu wa leo,vipi ndoa za zamani zilivyokua zikifanyika pamoja na sabubu za kudumu hali ambayo ni kinyume na wakati huu ambapo ndoa nyingi zimekua zikikatika katikati.Jee unajua sababu,sikiliza kipindi hiki kinachoongozwa na Salmin Juma -Pemba
Watafiti wametakiwa kutumia mbinu shirikishi ili kupata matokeo chanya kwa
jamii
-
Watafiti wametakiwa kushirikisha makundi mbalimbali ya jinsia zote katika
hatua za awali za utafiti wao ili kupata taarifa zitakazoisadia Serikali
kutatu...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment