Habari za Punde

Taarifa ya Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu .

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kutakuwa na kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kitakachofanyika tarehe 11 - 12/12/2016 na kufuatiwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa tarehe 13/12/2016. Vikao vyote hivyo vitafanyika jijini Dar es salaam.

Wajumbe wote wa vikao hivyo wanaombwa kuhudhuria.
Imetolewa na:- 
                   
SELEMAN Y. MWENDA
Kny: MSEMAJI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
05.12.2016

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.