Habari za Punde

Wanasheria Pemba Wapata Elimu ya Sheria.

Mratibu wa Kituo cha Huduma za Sheria Pemba, Fatma Khamis Hemed, akifunguwa mafunzo ya kupitia Sheria mbalimbali ikiwemo za Tawala za Mikoa Zanzibar  sheria namba 8 ya 2014 ,yaliofanyika Hoteli ya Misali-Pemba.
Wasaidizi wa sheria wa majimbo mbali mbali Kisiwani Pemba, wakiwa katika mafunzo ya kupitia sheria mbalimbali huko Misali, yaliodhaminiwa na Kituo cha huduma za Sheria Pemba.
Ofisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria , Khalfan Amour Moh'd,akitowa ufafanuzi wa sheria za Tawala za Mikoa namba 8/2014.

Wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Gando Bakar Khamis Faki na ShaabanJuma Kassim, wakichangia mada katika mafunzo ya kupitia sheria mbalimbali huko Misali Chake Chake Pemba.
Wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Gando Bakar Khamis Faki na ShaabanJuma Kassim, wakichangia mada katika mafunzo ya kupitia sheria mbalimbali huko Misali Chake Chake Pemba.(Picha na Bakari Mussa Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.