Kiongozi wa Kampeni ya Kuinua Maadili Kitaifa Bi Mayrose Kavura Majinge, siku ya Jumamosi Jan 14, ameweza kushirikiana na wadau mbali mbali jijini hapa Washington kwa lengo la kuinua Maendeleo Maalum ya Maadili Kitaifa, yaliyoanza rasmi kufanyika mwezi huu Januari hadi Disemba 2017, kwa lengo la kuinua na kudumisha maadili ya Watanzania ili kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazodhoofisha mfumo wa muundo wa jamii yetu ya Kitanzania.
Wakazi 3000 kuelimishwa namna ya kupambana na wanyama wakali
-
ZAIDI ya wakazi 3000 waishio kwenye vijiji vya karibu na hifadhi ya Taifa
ya Serengeti wanatarajiwa kupatiwa elimu ya namna ya kukabiliana na
changamoto ...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment