MLENGWA wa Kaya masikini katika shehia ya Mtangani,
akiwapeleka mbuzi malishoni mbuzi ambao wamenunua baada ya kukusanya fedha zao
wanazolipwa na Tasaf Pemba, katika mpango wa kunusuru kaya masikini.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MRATIB wa Tasaf Pemba Mussa Saidi, akimsaidia
mlengwa wa kaya masikini shehia ya Mtangani, kuchukuwa mbuzi baada ya mbuzi hao
kuanza kumpinza mlengwa huyo, wakati akiwarudisha kibandani baada kutoka nao
malishoni.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
MRATIB wa Tasaf Pemba Mussa Said, akifunga mbuzi
katika kipanda chao baada ya mbuzi hao kurudi malishoni, mbuzi hao
wanaomilikiwa na walengwa wa mpango wa kunusuru kaya Masikini shehia ya
Mtangani.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
MBUZI wa Walengwa wa mpango wa kunusuru kaya
masikini shehia ya Mtangani uliochini ya Tasaf Pemba, wakiwa katika kibanda
chao baada ya kurudi katika malisho ya siku nzima.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment