Na.Omar Hassan na Said Bakar -Polisi Zanzibar. 29/04/2024
Kamishna wa Polisi Zanzibar CP.Hamad Khamis Hamad amesema ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Nchi za Falme za Kiarabu kutatoa fursa za kubadilishana uzoefu baina ya pande mbili hizo na kupelekea kuimarika kwa ulinzi katika miradi ya maendeleo nchini.
Akizungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar CP.Hamad Khamis Hamad amesema ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Nchi za Falme za Kiarabu kutatoa fursa za kubadilishana uzoefu baina ya pande mbili hizo na kupelekea kuimarika kwa ulinzi katika miradi ya maendeleo nchini.
Nae Balozi Mdogo wa Nchi za Falme za Kiarabu Mhe.Saleh Ahmed Al Hemeiri amesema ziara yake Makao Makuu ya Polisi Zanzibar ni kuendeleza ushirikiano wa kihistoria baina ya Tanzania na Nchi za Falme za Kiarabu na ameahidi kuimarisha ushirikiano wa Majeshi ya Polisi Baina ya Tanzania na UAE.
Aidha amesifu hali ya ulinzi na usalama iliopo Tanzania inayopelekea Raia wa Falme za Kiarabu na Raia wa Nchi nyengine wanaotembelea Zanzibar kufanya kazi zao wakiwa katika hali ya Amani.
No comments:
Post a Comment