Wajasiriamali wa kilimo cha mbogambago kisiwani Pemba kimewakomboa wakulima wengi kwa mafanikio yake na kujiongezea kipato chao kupitia kilimo hicho kama inavyoonekana moja ya shamba la mbogomboga aina ya nyanya chungu zikiwa zimestawi na kunawiri katika shamba la kikundi cha jambo group kilichoko Wambaa wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAHITAJI MADAWATI 7,000 KATIKA SHULE ZA MSINGI NA
SEKONDARI- DED SELENDA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo
HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto
ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment