Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kuelekea kwenye eneo la uzinduzi wa Tekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 10, 2017. (PIcha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Spika wa Bunge Job Ndugai (wapili kushoto) na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa wakibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa tekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 10, 2017. Wapili kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani, kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Zhang Yongquan na kulia ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Spika wa Bunge Job Ndugai (wapili kushoto) na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa wakibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Mttekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 10, 2017. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani na kulia ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai wakizungumza kwa simu ikiwa ni uzinduzi wa tekinolojia ya 4G LTE a Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua tekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua tekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Spika wa Bunge Job Ndugai (wapili kushoto) na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa wakibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa tekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 10, 2017. Wapili kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani, kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Zhang Yongquan na kulia ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Spika wa Bunge Job Ndugai (wapili kushoto) na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa wakibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Mttekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 10, 2017. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani na kulia ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai wakizungumza kwa simu ikiwa ni uzinduzi wa tekinolojia ya 4G LTE a Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua tekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua tekinolojia ya 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Spika wa Bunge, Job Ndugai baada ya kuzindua tekinolojia 4G LTE ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwenye viwanja vya Bunge Februari 10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment