Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (wa sita kulia) akishiriki kuswalia jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa NEC, Mwalimu Ali Mbaga wakati wa mazishi yaliyofanyika leo Feb 8, 2017, katika kijiji cha Kighare, Usangi wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, leo. Mbaga ni miongoni mwa viongozi wanne wa CCM, waliofariki kwa ajali ya gari wakati wakitoka kwenye maadhimisho ya miaka 40 ya CCM katika mkoa huo.(Picha na Bashir Nkoromo)
KALLEIYA- VIONGOZI 20 CCM KIBAHA MJINI WAACHIA NGAZI KWA NIA YA KUGOMBEA
UDIWANI
-
Mwamvua Mwinyi, Kibaha
Viongozi 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, mkoani
Pwani—wakiwemo Wenyeviti, Makatibu na Makatibu wa Jumuiya
mbali...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment