KUMEKUWA na tabia kwa baadhi ya wasafiri wanaopanda
ndege kutoka Pemba-Unguja-Dar-Tanga, kuondoka na vitu visivyotakiwa, pichani
vitu mbali mbali ambavyo vimezuiliwa katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba,
ambavyo havifai kuingia navyo ndani ya Ndege.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA).
TIRA na DSE wasaini Makubaliano ya Kimkakati Kuimarisha Sekta ya Bima na
Masoko ya Mitaji
-
Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na Soko la Hisa la Dar es
Salaam (DSE) wamesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment