Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Nigeria akipiga shutu golini kwa Timu ya Taifa ya Zanzibar Hereos katika mchezo wa Kirafiki wa uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung. Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana, mchezo uliyofanyika leo 28-7-2025.
No comments:
Post a Comment