Habari za Punde

Timu ya Taifa ya Zanzibar Hereos Imetoka Sare ya Bila Kufungana na Timu ya Nigeria katika Mchezo wa Kirafiki Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung

Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Nigeria akipiga shutu golini kwa Timu ya Taifa  ya Zanzibar Hereos katika mchezo wa Kirafiki wa uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung. Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana, mchezo uliyofanyika leo 28-7-2025.  


























No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.