Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, akishiriki katika zoezi la ujenzi wa Taifa wa katika ujenzi wa Maskani ya Dunga Kiembeni Wilaya ya Kati Unguja ikiwa ni kuimarisha Chama kwa ngazi za Matawi kusherehekea miaka 40 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi. Katika kuadhimisha miaka 40 ya CCM Uongozi wa CCM Mkoa wa Kusini umefanya ziara kutembelea Jimbo la Tunguu kujionea m,aendeleo ya kuimarisha Chama katika ngazi za Matawi kwa kuimarisha matawi yake.
PIC YATEMBELEA MAABARA ZA TBS, YAFURAHISHWA UTENDAJI KAZI WAKE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza
TBS kwa kazi nzuri yenye weledi hususani katika ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment