WASHIRIKI wa mkutano wa kutoa mapendekezo ya sheria za fidia na ile ya usalama kazini zote za mwaka 2005, wakisiliza utaratibu wa kutoa maoni yao, juu ya mapendekezo ya sheria hizo, mbele ya Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar, kwenye mkutano huo ulifanyika skuli ya Sekondari Madungu Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
DKT.SWARE SEMESI- NEMC ASHIRIKI UZINDUZI WA MFUMO W KIDIGITALI NCHINI GHANA
-
NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa
mazingira(online continuous emissions monitoring System) ambao umelenga
kurahisis...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment