WASHIRIKI wa mkutano wa kutoa mapendekezo ya sheria za fidia na ile ya usalama kazini zote za mwaka 2005, wakisiliza utaratibu wa kutoa maoni yao, juu ya mapendekezo ya sheria hizo, mbele ya Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar, kwenye mkutano huo ulifanyika skuli ya Sekondari Madungu Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
TOGABE MILLS, KISHINDO CHA MAMA WATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO
RUFIJI
-
WANACHAMA wa Kishindo cha Mama kwa kushirikiana na TOGABE Mills watoa
Msaada kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.
Wametoa misaada mb...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment