Mafunzi wa Manispa ya Zanzibar wakizifanyia matengenezo taa za nguvu za jua Solar kwa kubadilisha matungi ya taa hizo na kubadilisha betry na kuziweka nyengine wa kushirikiana na wanafunzi wa Chuo cha Ufundi cha JKU Zanzibar kama walivyokutwa na camera yetu wakiwa katika zoezi hilo la ubadilishaji huo katika barabara ya michezani.
DKT.SWARE SEMESI- NEMC ASHIRIKI UZINDUZI WA MFUMO W KIDIGITALI NCHINI GHANA
-
NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa
mazingira(online continuous emissions monitoring System) ambao umelenga
kurahisis...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment