Mafunzi wa Manispa ya Zanzibar wakizifanyia matengenezo taa za nguvu za jua Solar kwa kubadilisha matungi ya taa hizo na kubadilisha betry na kuziweka nyengine wa kushirikiana na wanafunzi wa Chuo cha Ufundi cha JKU Zanzibar kama walivyokutwa na camera yetu wakiwa katika zoezi hilo la ubadilishaji huo katika barabara ya michezani.
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment