Mafunzi wa Manispa ya Zanzibar wakizifanyia matengenezo taa za nguvu za jua Solar kwa kubadilisha matungi ya taa hizo na kubadilisha betry na kuziweka nyengine wa kushirikiana na wanafunzi wa Chuo cha Ufundi cha JKU Zanzibar kama walivyokutwa na camera yetu wakiwa katika zoezi hilo la ubadilishaji huo katika barabara ya michezani.
Mbunge Ummy Mwalimu alivyoleta tabasamu kwa bodaboda Tanga kupitia leseni
za udereva
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga
Usalama wa maisha ya binadamu ni jambo la msingi sana, na ndiyo maana
unapaswa kulindwa kwa gharama zote. Katika suala la...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment