Mafunzi wa Manispa ya Zanzibar wakizifanyia matengenezo taa za nguvu za jua Solar kwa kubadilisha matungi ya taa hizo na kubadilisha betry na kuziweka nyengine wa kushirikiana na wanafunzi wa Chuo cha Ufundi cha JKU Zanzibar kama walivyokutwa na camera yetu wakiwa katika zoezi hilo la ubadilishaji huo katika barabara ya michezani.
PIKU Afrika yakabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya nne ya mnada wa
kidijitali
-
Na Mwandishi Wetu
JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee
kupitia mtandao, leo Septemba 20, 2025, limetangaza na kukabidhi za...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment