Wafanyakazi wa Kampuni ya Pennyroyal Zanzibar wakishiriki katika usafi wa mazingira katika ufukwe wa pwani ya matemwe Mkoa wa Kaskazini Unguja,Mradi wa Best of Zanzibar unafanyia shughuli zake katika maeneo ya Kijamii ya Matemwe kwa kushirikiana na Wananchi wa katika kutoa Elimu ya Afya na Mazingira. Wakiwa na vipolo vya mabaki ya chupa za plastiki na taka nyengine ili kuuweka ufukwe huo katika hali nzuri ya mazingira.
NDANI YA MUDA MFUPI HATUTAAGIZA BIDHAA KUTOKA NJE :DKT JAFO
-
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selamani Jafo, amesema kuwa ndani
ya muda mfupi Tanzania haitahitaji tena kuagiza bidhaa muhimu kama mabati,
vi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment