Wafanyakazi wa Kampuni ya Pennyroyal Zanzibar wakishiriki katika usafi wa mazingira katika ufukwe wa pwani ya matemwe Mkoa wa Kaskazini Unguja,Mradi wa Best of Zanzibar unafanyia shughuli zake katika maeneo ya Kijamii ya Matemwe kwa kushirikiana na Wananchi wa katika kutoa Elimu ya Afya na Mazingira. Wakiwa na vipolo vya mabaki ya chupa za plastiki na taka nyengine ili kuuweka ufukwe huo katika hali nzuri ya mazingira.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment