Muonekano wa Jengo jipya la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume katika picha ndivyo utakavyokuwa baada ya kukamilika kwa ujenzi huo unaofanywa na kampuni ya kichina ya BCEG ukiendelea na ujenzi wake katika hatua za umaliziaji wa mradi huo.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti
cha China (CPC) Guo Jinlong akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud wakati alipofanya ziara kukagua ujenzi wa Jengo la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar alipokuwa katika ziara yake Zanzibar.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti
cha China (CPC) Guo Jinlong akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid wakati alipofanya ziara kukagua ujenzi wa Jengo la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar alipokuwa katika ziara yake Zanzibar.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti
cha China (CPC) Guo Jinlong akisalimiana na Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi wa jengo hilo kutoka China.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti
cha China (CPC) Guo Jinlong akimsikiliza Balozi wa China Nchini Tanzania Balozi Lu Youqing (mwenye koti jeusi) alipotembelea ujenzi wa jengo la Abiria katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar
Sehemu ya jengo hilo la abiria likiwa katika muonekano wake
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong, akipata
maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya BCEG inayojenga Jengo jipya la
Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,
akitowa maelezo miradi waliojenga nchini Tanzania. Alipotembelea jengo hilo
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti
cha China (CPC) Guo Jinlong , akipata
maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya BCEG inayojenga Jengo jipya la
Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,
akitowa maelezo miradi waliojenga nchini Tanzania. Alipotembelea jengo hilo
Wataalamu wa Kampuni ya BCEG inayojenga Jengo la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakimshangia kiongozi wao alipotembelea mradi huo.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti
cha China (CPC) Guo Jinlong akizungumza na Wataalamu wa Ujenzi wa jengo la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume Zanzibar alipofika kutembelea Mradi huo.
Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe Balozi Ali Karume akizungumza na
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong,
alipotembelea jengo hilo kujionea maendeleo ya mradi huo unaojengwa na Kampuni
ya BCEG kutoka China
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti
cha China (CPC) Guo Jinlong
No comments:
Post a Comment