Habari za Punde

Yaliojiri Wakati wa Ziara ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC ) Ulipotembelea Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Abiria Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.

Muonekano wa Jengo jipya la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume katika picha ndivyo utakavyokuwa baada ya kukamilika kwa ujenzi huo unaofanywa na kampuni ya kichina ya BCEG  ukiendelea na ujenzi wake katika hatua za umaliziaji wa mradi huo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya  Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud wakati alipofanya ziara kukagua ujenzi wa Jengo la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar alipokuwa katika ziara yake Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya  Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid wakati alipofanya ziara kukagua ujenzi wa Jengo la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar alipokuwa katika ziara yake Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya  Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akisalimiana na Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi wa jengo hilo kutoka China. 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya  Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsikiliza Balozi wa China Nchini Tanzania Balozi Lu Youqing (mwenye koti jeusi) alipotembelea ujenzi wa jengo la Abiria katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar 
Sehemu ya jengo hilo la abiria likiwa katika muonekano wake 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong, akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya BCEG inayojenga Jengo jipya la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akitowa maelezo miradi waliojenga nchini Tanzania. Alipotembelea jengo hilo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya  Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong , akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya BCEG inayojenga Jengo jipya la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akitowa maelezo miradi waliojenga nchini Tanzania. Alipotembelea jengo hilo
Wataalamu wa Kampuni ya BCEG inayojenga Jengo la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakimshangia kiongozi wao alipotembelea mradi huo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya  Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akizungumza na Wataalamu wa Ujenzi wa jengo la Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume Zanzibar alipofika kutembelea Mradi huo.
Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe Balozi Ali Karume akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong, alipotembelea jengo hilo kujionea maendeleo ya mradi huo unaojengwa na Kampuni ya BCEG kutoka China
Mjumbe wa Kamati Kuu ya  Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong 



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.