Habari za Punde

ZAECA Yafungua Ofisi Yake Kisiwani Pemba. (Mobile Office)

Mkuu wa Wilaya ya Wete Pemba , Rashid Hadid Rashid, akizungumza na Wananchi waliohudhuria katika sherehe za uzinduzi wa Ofisi inayotembea ya Zaeca ( Mobile Office) huko katika Viwanja vya Jamhuri Garden Wete.
Ofisa wa Mamlaka ya kuzuwia rushwa na uhujumu uchumi Zanzibar (ZAECA) Mkoa wa Kaskazini Pemba, Abuubakar Moh'd Lunda, akizungumza na Wananchi waliohudhuria katika mkutano wa uzinduzi wa Ofisi inayotembea Zanzibar (Mobile Office)kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Wete , Rashid Hadid Rashid , ili kuzungumza na Wananchi na kufanya uzinduzi wa Ofisi hiyo huko katika Viwanja vya Jamhuri Garden Wete.
Baadhi ya Wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Ofisi ya ZAECA,inayotembea iliofanyika katika Viwanja vya Jamhuri Garden Wete -Pemba
.(Picha na Hanifa Salim-Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.