Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar Kanda ya Unguja Kati ya Mundu na Mafunzo Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Mafunzo Imeshinda 3--0.



Wachezaji wa Timu ya Mundu na Mafunzo wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa ligi Kuu ya Zanzibar Kanda ya Unguja mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Mafunzo imeshinda kwa ushindi wa bao 3--0.








No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.