Habari za Punde

Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya BLW yakutana na wahasibu, washika fedha na internal Auditors

 AFISA mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba, Ibrahim Saleh Juma, akizungumza na wahasibu, washika fedha na internal Auditors wakati walipokutana na Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.).


MWENYEKITI wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mwakilishi wa Jimbo la Fuoni Mhe:Yussuf Hassan Iddi, akifungua kikao cha wahasibu, washika fedha na internal auditors huko katika ukumbi wa uwanja wa Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.