Wachuuzi wa samaki kisiwani Zanzibar wakiwa katika mnada wa bidhaa hiyo katika marikiti kuu ya darajani wakati wa kunadishwa samaki katika mnada huo mtungo mmoja wa samaki uliozwa kati ya shilingi 35,000/= na kuendelea inategemea na ukubwa wake.
NANDI KUUNGA MKONO NEMBO YA MADE IN TANZANIA AHAIDI KUITUMIA KWENYE BIDHAA
NA MZIKI WAKE
-
Msanii wa muziki wa kizazi Kipya, Faustina Charles Mfinanga, maarufu kwa
jina la Nandy, ameonyesha dhamira ya dhati ya kuiunga mkono nembo ya 'Made
in Tanz...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment