Habari za Punde

Mnada wa Samaki Marikiti Kuu Darajani Zenj.

Wachuuzi wa samaki kisiwani Zanzibar wakiwa katika mnada wa bidhaa hiyo katika marikiti kuu ya darajani wakati wa kunadishwa samaki katika mnada huo mtungo mmoja wa samaki uliozwa kati ya shilingi 35,000/= na kuendelea inategemea na ukubwa wake.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.