Habari za Punde

Upaliliaji wa miche ya Mikarafuu



Wafanyakazi wa Kitalu cha Mikarafuu cha Serikali  Weni -Wete Pemba, wakiwa katika upaliliaji wa miche ya Mikarafuu , ili isiweze kuvamiwa na magugu na kuweza kustawi vyema kwa ajili kupandwa na wakulima wa Zao hilo hapo baadae.

Picha na Asha Salim -Wizara ya Kilimo -Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.