Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Mhe:Mohamed
Ahmad Salum akimkabidhi cheti cha uhitimu wa mafunzo ya usalama wa anga mmo wa
wanafakazi wa Uwanja wa Ndege Pemba, hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa
Uwanja huo
Wahitimu wa Mafunzo ya Usalama wa Anga katika uwanja wa ndege wa Pemba, wakiwa na vyeti
vyao walivyokabidhiwa na Naibu wa Wizara Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji
Zanzibar, Mhe:Mohamed Ahmad Salum
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Mhe:Mohamed
Ahmad Salum akizungumza na wahitimu wa fani ya Usalama wa anga katika uwanja wa
Ndege Pemba, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa uwanja wa ndege Pemba
Wahitimu wa mafunzo
ya usalama wa anga katika uwanja wa Ndege wa Pemba, wakimsikiliza kwa makini
Naibu waziri wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Mhe: Mohamed Ahmada Salum wakati alipokuwa akizungumza na
wahitimu hao baada ya kuwakabidhi vyeti vyao vya uhitimu.
Wahitimu wa fani ya usalama wa anga Pemba, wakiwa
katika picha ya pamoja na viongozi mbali mbali wa mamlaka ya viwanja vya ndenge
Pemba, naibu waziri wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar,
Mhe:Mohamed Ahmad Salim mwenye shati nyekundu.
(Picha na Abdi SULEIMAN - PEMBA)
No comments:
Post a Comment