Mafundi wa Idara ya Utunzaji Barabara Zanzibar akiweka kifusi katika barabara ya Rahaleo baada ya kuharibika kutokana na mvua za Masika zinazonyesha katika maeneo mbali ya mji wa Zanzibar na vitongoji vyake na kusababisha kuharibika kwa miundombinu ya barabara.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment