Mafundi wa Idara ya Utunzaji Barabara Zanzibar akiweka kifusi katika barabara ya Rahaleo baada ya kuharibika kutokana na mvua za Masika zinazonyesha katika maeneo mbali ya mji wa Zanzibar na vitongoji vyake na kusababisha kuharibika kwa miundombinu ya barabara.
KADA WA CCM AMIRI MKUFYA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA MLALO
-
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa Amiri Mkufya maarufu kama AMESCO, ni
miongoni mwa watia nia Jimbo la Mlalo, ambaye naye amechukua fomu kwa ajili
y...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment