Mafundi wa Idara ya Utunzaji Barabara Zanzibar akiweka kifusi katika barabara ya Rahaleo baada ya kuharibika kutokana na mvua za Masika zinazonyesha katika maeneo mbali ya mji wa Zanzibar na vitongoji vyake na kusababisha kuharibika kwa miundombinu ya barabara.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment