Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Maandalizi Gando , Mmaka Hamad Nassor, akitowa maeleo kwa wajumbe wa kamati ya Tasaf makamo makuu ulipotembelea mradi wa ujenzi wa Skuli hiyo iliojena kwa ufadhili wa Tasaf 3.
Walengwa wa Kaya maskini wa Shehia ya Ndagoni Pemba,wakimsikiliza Naibu katbu mkuu fedha wa Jamhuri ya Muungano Tanzania ,Habibu Kazungu alipokuwa akizungumza nao huko Ndagoni mara baada ya kutembelea mradi wa Tuta la kuzuwia maji ya Chumvi yasiingie kwenye mashamba ya mpunga.
Walengwa wa Kaya maskini wa Shehia ya Ndagoni Pemba,wakimsikiliza Naibu katbu mkuu fedha wa Jamhuri ya Muungano Tanzania ,Habibu Kazungu alipokuwa akizungumza nao huko Ndagoni mara baada ya kutembelea mradi wa Tuta la kuzuwia maji ya Chumvi yasiingie kwenye mashamba ya mpunga.
No comments:
Post a Comment