Habari za Punde

Jumuiya ya Taqwa Orphans Trust yatoa futari kwa mayatima kisiwani Pemba

 MWAKILISHI wa Jumuiya ya TAQWA Orphans Trust Tanzania Abdullah Mohamed Khassim katikati, akiwakabidhi misada ya Futari Viongozi wa Jumuiya ya Tahafidh Qur-an na maendeleo ya Kiislamu Ole, kwa ajili ya watoto mayatima waliomo katika Jumuiya hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MWAKILISHI wa Jumuiya ya TAQWA Orphans Trust Tanzania Abdullah Mohamed Khassim katikati, akiwakabidhi misada ya Futari Viongozi wa Jumuiya ya Tahafidh Qur-an na maendeleo ya Kiislamu Ole, kwa ajili ya watoto mayatima waliomo katika Jumuiya hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 BAADHI ya walezi wa watoto mayatima kutoka jimbo la Ole, wakiwa wamejitwika futari za Vijana wao baada ya kukabidhiwa na Jumuiya ya TAQWA Orphans Trust Tanzania.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWAKILISHI wa Jumuiya ya TAQWA Orphans Trust Tanzania Abdullah Mohamed Kassim, mwenye miwani akimkabidhi Futari mmoja ya walezi wa watoto mayatima katika kijiji cha Kiungoni Wilaya ya Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.