MWAKILISHI
wa Jumuiya ya TAQWA Orphans Trust Tanzania Abdullah Mohamed Khassim katikati,
akiwakabidhi misada ya Futari Viongozi wa Jumuiya ya Tahafidh Qur-an na
maendeleo ya Kiislamu Ole, kwa ajili ya watoto mayatima waliomo katika Jumuiya
hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MWAKILISHI
wa Jumuiya ya TAQWA Orphans Trust Tanzania Abdullah Mohamed Khassim katikati,
akiwakabidhi misada ya Futari Viongozi wa Jumuiya ya Tahafidh Qur-an na
maendeleo ya Kiislamu Ole, kwa ajili ya watoto mayatima waliomo katika Jumuiya
hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI
ya walezi wa watoto mayatima kutoka jimbo la Ole, wakiwa wamejitwika futari za
Vijana wao baada ya kukabidhiwa na Jumuiya ya TAQWA Orphans Trust Tanzania.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MWAKILISHI
wa Jumuiya ya TAQWA Orphans Trust Tanzania Abdullah Mohamed Kassim, mwenye
miwani akimkabidhi Futari mmoja ya walezi wa watoto mayatima katika kijiji cha
Kiungoni Wilaya ya Wete.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment