Makamo wa Pili Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimjulia hali na kumfariji aliyekuwa Rais Mstaaf wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA) na Makamo wa Rais wa CECAFA Ndg.Ali Ferej Tamim nyumbani kwake katika mtaa wa shangani Unguja. alipofika kumuangalia kumjulia hali yake ya kiafya .
Makamo wa Pili Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Rais mstaafu na Makamo Rais wa CECAFA Ndg Ali Ferej Tamim huko Shangani Mji Mkongwe wakati alipomtembelea kwa lengo la kumtakia pole.
No comments:
Post a Comment