Dar es salaam Kampuni ya Candy and Candy
imekuja kivingine msimu huu wa Ramadhani kwa kutumia mfumo mpya tuliouanzisha wa kiteknolojia
“Nikohub”tumeanza mchakato wa kufuturisha watu 100 kila siku kwa muda wa siku kumi.
Ili
upate kushiriki Futari unatakiwa ku-download
Nikohub kwenye Play Store katika simu yako.
Kisha jiunge ili tuweze kukuona kwenye mfumo wetu na uingie kwenye list ya watu 100
watakao kula futari leo.
Ukifanikiwa ku-downloda tutumie
SMS au piga 0765802457
tu kuelekeze sehemu ya kwenda kula futari maeneo ya huko uliko ni bure!.
No comments:
Post a Comment