Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Kibaha Maili moja
katika viwanja vya Bondeni Mkoani Pwani katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku
tatu Mkoani humo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza mwananchi
Azilongwa Buhali alipokuwa akimuelezea shida yake mara baada ya kuhutubia
wananchi wa Kibaha Mkoani Pwani.
Mmoja wa Wananchi akionesha hisia
zake wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
alipokuwa akihutubia Wananchi wa Kibaha Maili moja katika Viwanja vya Bondeni Mkoani
Pwani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Kibaha mjini
Silvestry Koka kabla ya kuhutubia Wananchi wa Kibaha Mkoani Pwani.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi
Evarist Ndikilo akizungumza katika mkutano huo.
Mbunge
wa Kibaha Mjini Silvestry Koka kabla ya kuhutubia Wananchi wa Kibaha Mkoani
Pwani.
Wananchi
wakishangilia wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli alipokuwa akihutubia mjini Kibaha. PICHA NA IKULU
. Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza mwananchi
Azilongwa Buhali alipokuwa akimuelezea shida yake mara baada ya kuhutubia
wananchi wa Kibaha Mkoani Pwani.
No comments:
Post a Comment